Mbio za Uspika: CCM Wamteua Job Ndugai Kuwania Nafasi ya Spika wa Bunge


Kamati ya wabunge wa CCM leo wampitisha Job Ndugai kuwania nafasi ya Spika wa Bunge baada ya wagombea wengine; Abdula Mwinyi na Dk Tulia Ackson kujitoa kuwania nafasi hiyo.

0 comments: